Waroma 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ikiwezekana, kwa kadiri inavyowategemea ninyi, fanyeni amani na watu wote.+ Waefeso 4:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Neno lililooza lisitoke kinywani mwenu,+ bali neno jema kwa ajili ya kujenga kulingana na uhitaji, ili liwanufaishe wale wanaolisikia.+ 1 Wathesalonike 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 na mwafikirie kwa njia inayozidi ile ya kawaida katika upendo kwa sababu ya kazi yao.+ Dumisheni amani miongoni mwenu.+ Waebrania 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Fuatilieni amani pamoja na watu wote+ na utakaso*+ ambao bila huo hakuna mtu atakayemwona Bwana.
29 Neno lililooza lisitoke kinywani mwenu,+ bali neno jema kwa ajili ya kujenga kulingana na uhitaji, ili liwanufaishe wale wanaolisikia.+
13 na mwafikirie kwa njia inayozidi ile ya kawaida katika upendo kwa sababu ya kazi yao.+ Dumisheni amani miongoni mwenu.+