3 Asifiwe Mungu na Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo,+ Baba wa rehema nyororo+ na Mungu wa faraja yote,+ 4 ambaye hutufariji katika majaribu+ yetu yote, ili tuweze kuwafariji wengine+ walio katika majaribu ya namna yoyote, kwa faraja ambayo tunapokea kutoka kwa Mungu.+