Zaburi 119:163 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 163 Nauchukia uwongo—nauchukia sana+—Ninaipenda sheria yako.+ Methali 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia uovu.+ Ninachukia kujikweza na kiburi+ na njia ya uovu na maneno mapotovu.+ Waefeso 4:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa hiyo, kwa sababu mmeacha udanganyifu, semeni ukweli kila mmoja na mwenzake,+ kwa sababu sisi ni viungo vya mwili mmoja.+
13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia uovu.+ Ninachukia kujikweza na kiburi+ na njia ya uovu na maneno mapotovu.+
25 Kwa hiyo, kwa sababu mmeacha udanganyifu, semeni ukweli kila mmoja na mwenzake,+ kwa sababu sisi ni viungo vya mwili mmoja.+