Zaburi 101:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hakuna mtu yeyote mdanganyifu atakayekaa katika nyumba yangu,Na hakuna mwongo atakayesimama mbele yangu.* Zaburi 119:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Niondolee njia ya udanganyifu,+Na unionyeshe kibali kwa kunipa sheria yako. Zaburi 119:104 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 104 Kwa sababu ya maagizo yako ninatenda kwa uelewaji.+ Ndiyo sababu ninaichukia kila njia ya uwongo.+
7 Hakuna mtu yeyote mdanganyifu atakayekaa katika nyumba yangu,Na hakuna mwongo atakayesimama mbele yangu.*
104 Kwa sababu ya maagizo yako ninatenda kwa uelewaji.+ Ndiyo sababu ninaichukia kila njia ya uwongo.+