Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 101:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Hakuna mtu yeyote mdanganyifu atakayekaa katika nyumba yangu,

      Na hakuna mwongo atakayesimama mbele yangu.*

  • Zaburi 119:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Niondolee njia ya udanganyifu,+

      Na unionyeshe kibali kwa kunipa sheria yako.

  • Zaburi 119:104
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 104 Kwa sababu ya maagizo yako ninatenda kwa uelewaji.+

      Ndiyo sababu ninaichukia kila njia ya uwongo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki