Mathayo 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Wenye furaha ni wale wanaofanya amani,+ kwa kuwa wataitwa wana wa Mungu. Waebrania 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Fuatilieni amani pamoja na watu wote+ na utakaso*+ ambao bila huo hakuna mtu atakayemwona Bwana.