Waroma 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ikiwezekana, kwa kadiri inavyowategemea ninyi, fanyeni amani na watu wote.+ Waebrania 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Fuatilieni amani pamoja na watu wote+ na utakaso*+ ambao bila huo hakuna mtu atakayemwona Bwana. Yakobo 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Zaidi ya hayo, tunda la uadilifu hupandwa katika hali zenye amani+ kwa* wale wanaofanya amani.+