Mathayo 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Wenye furaha ni wale wanaofanya amani,+ kwa kuwa wataitwa wana wa Mungu. 1 Petro 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na aache mabaya,+ atende mema;+ na atafute amani na kuifuatilia.+