Zaburi 27:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana atanificha katika banda lake siku ya msiba;+Atanificha mahali pa siri katika hema lake;+Ataniweka juu kwenye mwamba.+ Zaburi 91:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa manyoya yake atakufunika,Nawe utapata kimbilio chini ya mabawa yake.+ Uaminifu wake+ utakuwa ngao kubwa+ na ukuta wa ulinzi.*
5 Kwa maana atanificha katika banda lake siku ya msiba;+Atanificha mahali pa siri katika hema lake;+Ataniweka juu kwenye mwamba.+
4 Kwa manyoya yake atakufunika,Nawe utapata kimbilio chini ya mabawa yake.+ Uaminifu wake+ utakuwa ngao kubwa+ na ukuta wa ulinzi.*