Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 32:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wewe ni mahali pangu pa kujificha;

      Utanilinda nisipatwe na taabu.+

      Utanizunguka kwa kelele za shangwe za ukombozi.+ (Sela)

  • Zaburi 57:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 57 Nionyeshe kibali, Ee Mungu, nionyeshe kibali,

      Kwa maana ninakukimbilia,+

      Ninakimbilia kivuli cha mabawa yako mpaka matatizo haya yapite.+

  • Sefania 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole* wa dunia,

      Mnaoshika amri zake za uadilifu.*

      Utafuteni uadilifu, utafuteni upole.*

      Huenda* mtafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki