Zaburi 57:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Atatuma msaada kutoka mbinguni na kuniokoa.+ Atamtamausha yule anayejaribu kuning’ata. (Sela) Mungu atatuma upendo wake mshikamanifu na uaminifu wake.+ Zaburi 86:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini wewe, Ee Yehova, ni Mungu mwenye rehema na huruma,*Si mwepesi wa hasira, nawe una upendo mwingi mshikamanifu na uaminifu.*+
3 Atatuma msaada kutoka mbinguni na kuniokoa.+ Atamtamausha yule anayejaribu kuning’ata. (Sela) Mungu atatuma upendo wake mshikamanifu na uaminifu wake.+
15 Lakini wewe, Ee Yehova, ni Mungu mwenye rehema na huruma,*Si mwepesi wa hasira, nawe una upendo mwingi mshikamanifu na uaminifu.*+