Zekaria 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nitapiga kambi nikiwa mlinzi wa nyumba yangu,+Hivi kwamba hakuna yeyote atakayeingia na hakuna yeyote atakayetoka;Na hakuna msimamizi wa watumwa* atakayeingia humo tena,+Kwa maana sasa nimeyaona* kwa macho yangu.
8 Nitapiga kambi nikiwa mlinzi wa nyumba yangu,+Hivi kwamba hakuna yeyote atakayeingia na hakuna yeyote atakayetoka;Na hakuna msimamizi wa watumwa* atakayeingia humo tena,+Kwa maana sasa nimeyaona* kwa macho yangu.