Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na ikawa kwamba walipokuwa wanatembea, wakizungumza huku wakitembea, tazama! gari+ la vita lenye moto na farasi wenye moto, nao wakawatenganisha hao wawili; na Eliya akaanza kupanda katika ile dhoruba ya upepo kuelekea mbinguni.+

  • Zaburi 68:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Magari ya Mungu ya vita ni makumi ya maelfu, maelfu zaidi na zaidi.+

      Yehova mwenyewe amekuja kutoka Sinai na kuingia mahali patakatifu.+

  • Zekaria 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo nikainua tena macho yangu nikaona; na tazama! kulikuwa na magari manne yakija kutoka katikati ya milima miwili, na milima hiyo ilikuwa milima ya shaba.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki