Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 33:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akasema:

      “Yehova—alikuja kutoka Sinai,+

      Naye akamulika juu yao kutoka Seiri.+

      Aliangaza kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+

      Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+

      Mashujaa wao kwenye mkono wake wa kuume.+

  • 2 Wafalme 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na Elisha akaanza kusali+ na kusema: “Ee Yehova, tafadhali fungua macho yake,+ ili aone.” Mara moja Yehova akafungua macho ya yule mtumishi, hivi kwamba akaona; na, tazama! lile eneo lenye milima lilikuwa limejaa farasi na magari ya vita+ ya moto kumzunguka Elisha pande zote.+

  • Danieli 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kulikuwa na mto wa moto unaotiririka kutoka mbele zake.+ Kulikuwa na maelfu elfu walioendelea kumtumikia,+ na elfu kumi mara elfu kumi walioendelea kusimama mbele zake.+ Ile Mahakama+ ikaketi, na vitabu vikafunguliwa.

  • Mathayo 26:53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 53 Au unafikiri kwamba siwezi kumwomba Baba yangu anipe sasa hivi vikosi zaidi ya kumi na viwili vya malaika?+

  • Ufunuo 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nami nikaona, nami nikasikia sauti ya malaika wengi kuzunguka kile kiti cha ufalme na wale viumbe hai na wale wazee, na hesabu yao ilikuwa makumi ya maelfu ya makumi ya maelfu+ na maelfu ya maelfu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki