2 Mambo ya Nyakati 20:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ee Mungu wetu, je, hutafanya hukumu juu yao?+ Kwa maana hakuna nguvu ndani yetu mbele ya umati huu mkubwa unaokuja juu yetu;+ nasi wenyewe hatujui tunalopaswa kufanya,+ lakini macho yetu yanakuelekea wewe.”+ Zaburi 91:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ataniitia, nami nitamjibu.+Nitakuwa pamoja naye katika taabu.+Nitamwokoa na kumtukuza.+
12 Ee Mungu wetu, je, hutafanya hukumu juu yao?+ Kwa maana hakuna nguvu ndani yetu mbele ya umati huu mkubwa unaokuja juu yetu;+ nasi wenyewe hatujui tunalopaswa kufanya,+ lakini macho yetu yanakuelekea wewe.”+