27 Kwa upande wangu, mimi sikukutendea dhambi, lakini wewe unanitendea vibaya kwa kupigana nami. Yehova aliye Mwamuzi+ na ahukumu leo kati ya wana wa Israeli na wana wa Amoni.’”
13 Nawe unapaswa kumwambia kwamba naihukumu nyumba yake+ mpaka wakati usio na kipimo kwa sababu ya kosa ambalo amelijua,+ kwa sababu wanawe wanamlaani Mungu,+ lakini yeye hakuwakemea.+