Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 11:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa upande wangu, mimi sikukutendea dhambi, lakini wewe unanitendea vibaya kwa kupigana nami. Yehova aliye Mwamuzi+ na ahukumu leo kati ya wana wa Israeli na wana wa Amoni.’”

  • 1 Samweli 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nawe unapaswa kumwambia kwamba naihukumu nyumba yake+ mpaka wakati usio na kipimo kwa sababu ya kosa ambalo amelijua,+ kwa sababu wanawe wanamlaani Mungu,+ lakini yeye hakuwakemea.+

  • Zaburi 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Usimame, Ee Yehova, katika hasira yako;+

      Uinuke katika milipuko ya ghadhabu ya wale wanaonionyesha uadui,+

      Na uamke kwa ajili yangu,+ kwa maana umetoa amri kwa ajili ya hukumu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki