2 Wafalme 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wakati mhudumu+ wa yule mtu wa Mungu wa kweli alipoamka asubuhi na mapema, akaenda nje, na, tazama, hapo jeshi lilikuwa limelizunguka jiji kwa farasi na magari ya vita. Mara moja mtumishi wake akamwambia: “Ole, bwana wangu!+ Tutafanya nini?” Yeremia 10:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ninajua vema, Ee Yehova, kwamba njia ya mtu wa udongo haimo katika uwezo wake. Mwanadamu anayetembea hana uwezo wa kuongoza hatua yake.+
15 Wakati mhudumu+ wa yule mtu wa Mungu wa kweli alipoamka asubuhi na mapema, akaenda nje, na, tazama, hapo jeshi lilikuwa limelizunguka jiji kwa farasi na magari ya vita. Mara moja mtumishi wake akamwambia: “Ole, bwana wangu!+ Tutafanya nini?”
23 Ninajua vema, Ee Yehova, kwamba njia ya mtu wa udongo haimo katika uwezo wake. Mwanadamu anayetembea hana uwezo wa kuongoza hatua yake.+