Kumbukumbu la Torati 5:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Katika njia yote ambayo Yehova Mungu wenu amewaamuru ninyi, mnapaswa kutembea,+ ili mpate kuishi na ili mambo yawaendee ninyi vema+ nanyi mpate kurefusha siku zenu katika nchi mtakayoimiliki. 2 Mambo ya Nyakati 6:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 kusudi wakuogope+ kwa kutembea katika njia zako siku zote ambazo wako hai juu ya uso wa nchi ambayo uliwapa mababu zetu.+ Zaburi 128:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 128 Mwenye furaha ni kila mtu anayemwogopa Yehova.+Anayetembea katika njia zake.+ Luka 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wote wawili walikuwa waadilifu+ mbele za Mungu kwa sababu ya kutembea bila lawama+ kulingana na amri+ zote na matakwa ya kisheria+ ya Yehova.+
33 Katika njia yote ambayo Yehova Mungu wenu amewaamuru ninyi, mnapaswa kutembea,+ ili mpate kuishi na ili mambo yawaendee ninyi vema+ nanyi mpate kurefusha siku zenu katika nchi mtakayoimiliki.
31 kusudi wakuogope+ kwa kutembea katika njia zako siku zote ambazo wako hai juu ya uso wa nchi ambayo uliwapa mababu zetu.+
6 Wote wawili walikuwa waadilifu+ mbele za Mungu kwa sababu ya kutembea bila lawama+ kulingana na amri+ zote na matakwa ya kisheria+ ya Yehova.+