Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 5:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Katika njia yote ambayo Yehova Mungu wenu amewaamuru ninyi, mnapaswa kutembea,+ ili mpate kuishi na ili mambo yawaendee ninyi vema+ nanyi mpate kurefusha siku zenu katika nchi mtakayoimiliki.

  • 2 Mambo ya Nyakati 6:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 kusudi wakuogope+ kwa kutembea katika njia zako siku zote ambazo wako hai juu ya uso wa nchi ambayo uliwapa mababu zetu.+

  • Zaburi 128:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 128 Mwenye furaha ni kila mtu anayemwogopa Yehova.+

      Anayetembea katika njia zake.+

  • Luka 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Wote wawili walikuwa waadilifu+ mbele za Mungu kwa sababu ya kutembea bila lawama+ kulingana na amri+ zote na matakwa ya kisheria+ ya Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki