Zaburi 104:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Jinsi kazi zako zilivyo nyingi, Ee Yehova!+Zote umezifanya kwa hekima.+Dunia imejaa vitu ulivyotokeza.+ Methali 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hekima Yehova mwenyewe aliuweka msingi wa dunia.+ Aliziweka mbingu imara kwa utambuzi.+
24 Jinsi kazi zako zilivyo nyingi, Ee Yehova!+Zote umezifanya kwa hekima.+Dunia imejaa vitu ulivyotokeza.+