Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 18:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Je, jambo lolote ni kubwa mno isivyo kawaida kwa Yehova?+ Kwa wakati uliowekwa nitarudi kwako, mwaka ujao wakati huu, na Sara atapata mwana.”

  • Hesabu 11:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Je, mkono wa Yehova ni mfupi?+ Sasa utaona ikiwa ninalosema litatukia kwako au hapana.”+

  • Isaya 50:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa nini basi, nilipoingia, hapakuwa na mtu yeyote?+ Nilipoita, hakuna aliyejibu?+ Je, kweli mkono wangu umekuwa mfupi mno kwamba hauwezi kukomboa,+ au je, ndani yangu hamna nguvu za kukomboa? Tazama! Mimi huikausha bahari+ kwa kemeo+ langu; mimi huifanya mito kuwa nyika.+ Samaki wao hunuka kwa sababu ya maji kukosekana, nao hufa kwa sababu ya kiu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki