2 Basi, kwa nini nilipokuja, hapakuwa na mtu yeyote mahali hapa?
Kwa nini hakuna aliyejibu nilipoita?+
Je, mkono wangu ni mfupi usiweze kukomboa,
Au je, sina nguvu za kuokoa?+
Tazameni! Mimi huikausha bahari kwa kemeo langu;+
Ninaifanya mito kuwa jangwa.+
Samaki waliomo huoza kwa kukosa maji,
Nao hufa kwa sababu ya kiu.