Isaya 40:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Je, hujui? Je, hujasikia? Yehova, Muumba wa miisho ya dunia, ni Mungu kwa umilele wote.+ Yeye hachoki kamwe wala haishiwi na nguvu.+ Uelewaji wake hauchunguziki.*+ Isaya 59:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 Tazama! Mkono wa Yehova si mfupi usiweze kuokoa,+Wala sikio lake si zito lisiweze kusikia.+
28 Je, hujui? Je, hujasikia? Yehova, Muumba wa miisho ya dunia, ni Mungu kwa umilele wote.+ Yeye hachoki kamwe wala haishiwi na nguvu.+ Uelewaji wake hauchunguziki.*+