Kutoka 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Sasa Musa akaunyoosha mkono wake juu ya bahari;+ naye Yehova akaisukuma bahari nyuma usiku kucha kwa upepo wenye nguvu wa mashariki, maji yakagawanyika,+ kukawa na nchi kavu+ katikati ya bahari. Kutoka 14:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Lakini Waisraeli walitembea kwenye nchi kavu katikati ya bahari,+ na maji yalisimama kama ukuta upande wao wa kulia na wa kushoto.+ Zaburi 106:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Aliikemea Bahari Nyekundu, ikakauka;Aliwaongoza katika vilindi vyake kana kwamba wanapitia jangwani;*+ Isaya 51:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Je, si wewe uliyeikausha bahari, maji ya kilindi kikubwa?+ Uliyevifanya vilindi vya bahari kuwa njia ili watu waliokombolewa wavuke?+
21 Sasa Musa akaunyoosha mkono wake juu ya bahari;+ naye Yehova akaisukuma bahari nyuma usiku kucha kwa upepo wenye nguvu wa mashariki, maji yakagawanyika,+ kukawa na nchi kavu+ katikati ya bahari.
29 Lakini Waisraeli walitembea kwenye nchi kavu katikati ya bahari,+ na maji yalisimama kama ukuta upande wao wa kulia na wa kushoto.+
9 Aliikemea Bahari Nyekundu, ikakauka;Aliwaongoza katika vilindi vyake kana kwamba wanapitia jangwani;*+ Isaya 51:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Je, si wewe uliyeikausha bahari, maji ya kilindi kikubwa?+ Uliyevifanya vilindi vya bahari kuwa njia ili watu waliokombolewa wavuke?+
10 Je, si wewe uliyeikausha bahari, maji ya kilindi kikubwa?+ Uliyevifanya vilindi vya bahari kuwa njia ili watu waliokombolewa wavuke?+