Methali 1:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa sababu nimewaita lakini mnaendelea kukataa.+ Nimenyoosha mkono wangu lakini hakuna yeyote anayetazama.+ Yeremia 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na sasa kwa sababu mliendelea kufanya kazi hizi zote,’ asema Yehova, ‘nami nikaendelea kusema nanyi, nikiamka mapema na kusema,+ lakini hamkusikiliza,+ nami nikaendelea kuwaita, lakini hamkujibu,+
24 Kwa sababu nimewaita lakini mnaendelea kukataa.+ Nimenyoosha mkono wangu lakini hakuna yeyote anayetazama.+
13 Na sasa kwa sababu mliendelea kufanya kazi hizi zote,’ asema Yehova, ‘nami nikaendelea kusema nanyi, nikiamka mapema na kusema,+ lakini hamkusikiliza,+ nami nikaendelea kuwaita, lakini hamkujibu,+