Ayubu 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Je, unaweza kuvumbua mambo yenye kina ya Mungu,+Au, je, unaweza kuvumbua kikomo chenyewe cha Mweza-Yote? Zaburi 36:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Uadilifu wako ni kama milima ya Mungu;+Uamuzi wako wa hukumu ni kilindi kikubwa cha maji.+Wewe huokoa mwanadamu na mnyama, Ee Yehova.+ Zaburi 139:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ujuzi wa namna hiyo ni wa ajabu mno kwangu.+Ni wa juu sana hivi kwamba siwezi kuufikia.+ Isaya 55:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu kuliko dunia,+ ndivyo njia zangu zilivyo juu kuliko njia zenu,+ na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.+ Waroma 11:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!
7 Je, unaweza kuvumbua mambo yenye kina ya Mungu,+Au, je, unaweza kuvumbua kikomo chenyewe cha Mweza-Yote?
6 Uadilifu wako ni kama milima ya Mungu;+Uamuzi wako wa hukumu ni kilindi kikubwa cha maji.+Wewe huokoa mwanadamu na mnyama, Ee Yehova.+
9 “Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu kuliko dunia,+ ndivyo njia zangu zilivyo juu kuliko njia zenu,+ na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.+
33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!