6 Na Yehova akapita karibu mbele ya uso wake na kutangaza: “Yehova, Yehova, Mungu mwenye rehema+ na neema,+ si mwepesi wa hasira+ naye ni mwingi wa fadhili zenye upendo+ na kweli,+
2 Nanyi mnajua vema leo (kwa maana mimi sihutubii wana wenu ambao hawajajua wala hawajaona nidhamu ya Yehova+ Mungu wenu, ukuu wake,+ mkono wake wenye nguvu+ na mkono wake ulionyooshwa,+
18 Wewe unayeonyesha fadhili zenye upendo kuelekea maelfu,+ na kulipa kosa la akina baba katika vifua vya wana wao baada yao,+ Mungu wa kweli, aliye Mkuu,+ Mwenye nguvu,+ Yehova wa majeshi+ ndilo jina lake,+