24 Ndipo mkasema, ‘Tazama, Yehova Mungu wetu ametuonyesha utukufu wake na ukuu wake, nasi tumeisikia sauti yake kutoka katikati ya moto.+ Leo tumeona kwamba Mungu anaweza kusema na mwanadamu naye aendelee kuishi.+
26 Nami nikaanza kuomba dua+ kwa Yehova na kusema, ‘Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, usiwaharibu watu wako, mali yako binafsi,+ uliowakomboa kwa ukuu wako, ambao uliwatoa Misri+ kwa mkono wenye nguvu.+