1 Mambo ya Nyakati 29:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Basi Daudi mfalme akaliambia kutaniko lote:+ “Sulemani mwanangu, ambaye Mungu amemchagua,+ ni mchanga+ na mwororo, lakini kazi ni kubwa; kwa kuwa jumba hilo la kifalme si la mwanadamu,+ bali ni la Yehova Mungu. Zaburi 68:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa sababu ya hekalu lako katika Yerusalemu,+Wafalme watakuletea zawadi wewe mwenyewe.+
29 Basi Daudi mfalme akaliambia kutaniko lote:+ “Sulemani mwanangu, ambaye Mungu amemchagua,+ ni mchanga+ na mwororo, lakini kazi ni kubwa; kwa kuwa jumba hilo la kifalme si la mwanadamu,+ bali ni la Yehova Mungu.