10 Ndipo akampa+ mfalme talanta 120 za dhahabu+ na mafuta mengi sana ya zeri+ na mawe ya thamani. Hayakuletwa kamwe tena mafuta ya zeri yaliyo mengi kama yale ambayo malkia wa Sheba alimpa Mfalme Sulemani.
23 Na kulikuwa na watu wengi waliokuwa wakileta zawadi+ kwa Yehova katika Yerusalemu na vitu bora kwa Hezekia mfalme wa Yuda,+ naye akaja kuinuliwa+ machoni pa mataifa yote baada ya hayo.