2 Samweli 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Vyombo hivyo pia Mfalme Daudi akavitakasa kwa Yehova, pamoja na ile fedha na dhahabu ambayo alikuwa ameitakasa kutoka kwa mataifa yote ambayo alikuwa ameyatiisha,+ Ezra 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 na kuleta fedha na dhahabu ambayo mfalme na washauri wake wamejitolea kutoa+ kwa Mungu wa Israeli, ambaye makao yake yako Yerusalemu,+ Zaburi 68:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa sababu ya hekalu lako katika Yerusalemu,+Wafalme watakuletea zawadi wewe mwenyewe.+
11 Vyombo hivyo pia Mfalme Daudi akavitakasa kwa Yehova, pamoja na ile fedha na dhahabu ambayo alikuwa ameitakasa kutoka kwa mataifa yote ambayo alikuwa ameyatiisha,+
15 na kuleta fedha na dhahabu ambayo mfalme na washauri wake wamejitolea kutoa+ kwa Mungu wa Israeli, ambaye makao yake yako Yerusalemu,+