Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 6:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini fedha yote na dhahabu na vyombo vya shaba na chuma ni vitu vitakatifu kwa Yehova.+ Viwekwe katika hazina ya Yehova.”+

  • 1 Wafalme 7:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Mwishowe kazi yote ambayo Mfalme Sulemani alipaswa kufanya kuhusiana na nyumba ya Yehova ikamalizika;+ na Sulemani akaanza kuingiza ndani vile vitu ambavyo Daudi baba yake alikuwa amevifanya kuwa vitakatifu;+ fedha na dhahabu na vyombo akaviweka katika hazina za nyumba ya Yehova.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 18:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Vyombo hivyo pia Mfalme Daudi akavitakasa+ kwa Yehova, pamoja na ile fedha na dhahabu ambayo alikuwa amechukua kutoka kwa mataifa yote,+ kutoka Edomu na kutoka Moabu+ na kutoka kwa wana wa Amoni+ na kutoka kwa Wafilisti+ na kutoka kwa Amaleki.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 22:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na tazama, wakati wa mateso+ yangu nimetayarisha kwa ajili ya nyumba ya Yehova talanta mia moja elfu za dhahabu+ na talanta milioni moja za fedha, na hakuna namna ya kupima uzito wa shaba+ na chuma+ kwa sababu zimekuwa nyingi sana; nami nimetayarisha mbao na mawe, lakini utaviongeza vitu hivyo.

  • 1 Mambo ya Nyakati 26:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Walikuwa wamefanya vitu kuwa vitakatifu kutoka katika vita+ na kutoka katika nyara+ ili kuidumisha nyumba ya Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki