14 Tazama, nimejitahidi kabisa kufanya matayarisho kwa ajili ya nyumba ya Yehova, nimeweka talanta 100,000 za dhahabu na talanta 1,000,000 za fedha na shaba nyingi sana+ na chuma hivi kwamba haviwezi kupimwa, nami nimetayarisha mbao na mawe,+ lakini utaongeza vitu hivyo.