22 Na Sulemani hakumfanya yeyote kati ya wana wa Israeli kuwa mtumwa;+ kwa maana wao walikuwa ndio mashujaa wa vita na watumishi wake na wakuu wake na maamiri wasaidizi wake na wakuu wa waendesha-magari wake na wakuu wa wapanda-farasi wake.+
18 Kwa hiyo akawafanya 70,000 kati yao wawe wabeba-mizigo+ na 80,000 wawe wachongaji+ wa mawe mlimani na waangalizi 3,600 wa kuwafanya watu watumikie.+