1 Wafalme 5:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi mfalme akaamuru kwamba wachimbe mawe makubwa, mawe yenye bei ghali,+ ili kuweka msingi+ wa nyumba kwa mawe yaliyochongwa.+ 1 Wafalme 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo wajenzi wa Sulemani na wajenzi wa Hiramu na Wagebali+ wakachonga mawe, nao wakaendelea kutayarisha mbao na mawe ili kuijenga nyumba. 1 Mambo ya Nyakati 22:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nawe una wafanyakazi wengi sana, wachongaji wa mawe na wafanyakazi wa mawe+ na kila mwenye ustadi katika kila namna ya kazi.+
17 Basi mfalme akaamuru kwamba wachimbe mawe makubwa, mawe yenye bei ghali,+ ili kuweka msingi+ wa nyumba kwa mawe yaliyochongwa.+
18 Kwa hiyo wajenzi wa Sulemani na wajenzi wa Hiramu na Wagebali+ wakachonga mawe, nao wakaendelea kutayarisha mbao na mawe ili kuijenga nyumba.
15 Nawe una wafanyakazi wengi sana, wachongaji wa mawe na wafanyakazi wa mawe+ na kila mwenye ustadi katika kila namna ya kazi.+