9 Hizi zote zilikuwa za mawe ghali+ kulingana na vipimo, yaliyokatwa, yakachongwa kwa misumeno ya mawe, ndani na nje, na kutoka katika msingi mpaka kwenye kigongo cha ukuta, na upande wa nje mpaka kwenye ule ua mkuu.+
2 Sasa Daudi akasema wakaaji wote wageni+ walio katika nchi ya Israeli wakusanywe, kisha akawaweka kuwa wachongaji wa mawe+ ili wachonge mawe ya mraba+ kwa ajili ya kujenga nyumba ya Mungu wa kweli.