21 wana wao waliobaki baada yao katika nchi, ambao wana wa Israeli walishindwa kuangamiza,+ Sulemani akaendelea kuwaandikisha kwa ajili ya kazi ya kulazimishwa ya kitumwa mpaka leo hii.+
17 Ndipo Sulemani akawahesabu watu wote waliokuwa wakaaji wageni, waliokuwa katika nchi ya Israeli,+ baada ya ile hesabu ya watu ambayo Daudi alikuwa amechukua;+ kukapatikana watu 153,600.