Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na Mfalme Sulemani akaendelea kuwaleta wale wote walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa kutoka katika Israeli yote; na wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa+ jumla yao ikawa watu 30,000.

  • 1 Wafalme 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye akawa akiwapeleka Lebanoni kwa zamu za 10,000 kwa mwezi. Wakaendelea kukaa katika Lebanoni kwa mwezi mmoja, na kwa miezi miwili nyumbani kwao;+ na Adoniramu+ alikuwa juu ya wale walioandikishwa+ kufanya kazi ya kulazimishwa.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 8:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 kutoka kwa wana wao waliokuwa wameachwa baada yao katika nchi, ambao wana wa Israeli hawakuwaangamiza,+ Sulemani akaendelea kuwaandikisha+ kwa ajili ya kazi ya kulazimishwa mpaka leo hii.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki