13 Na Mfalme Sulemani akaendelea kuwaleta wale wote walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa kutoka katika Israeli yote; na wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa+ jumla yao ikawa watu 30,000.
14 Naye akawa akiwapeleka Lebanoni kwa zamu za 10,000 kwa mwezi. Wakaendelea kukaa katika Lebanoni kwa mwezi mmoja, na kwa miezi miwili nyumbani kwao;+ na Adoniramu+ alikuwa juu ya wale walioandikishwa+ kufanya kazi ya kulazimishwa.+
8 kutoka kwa wana wao waliokuwa wameachwa baada yao katika nchi, ambao wana wa Israeli hawakuwaangamiza,+ Sulemani akaendelea kuwaandikisha+ kwa ajili ya kazi ya kulazimishwa mpaka leo hii.+