1 Wafalme 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi Mfalme Rehoboamu akamtuma Adoramu,+ aliyekuwa juu ya wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa,+ lakini Israeli wote wakampiga kwa mawe,+ naye akafa. Na Mfalme Rehoboamu akafaulu kupanda katika gari, akakimbia kwenda Yerusalemu.
18 Basi Mfalme Rehoboamu akamtuma Adoramu,+ aliyekuwa juu ya wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa,+ lakini Israeli wote wakampiga kwa mawe,+ naye akafa. Na Mfalme Rehoboamu akafaulu kupanda katika gari, akakimbia kwenda Yerusalemu.