18 Basi Mfalme Rehoboamu akamtuma Hadoramu,+ aliyekuwa juu ya wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa, lakini wana wa Israeli wakampiga kwa mawe,+ naye akafa. Naye Mfalme Rehoboamu akafaulu kupanda katika gari lake, akakimbia kwenda Yerusalemu.+