Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 17:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Mwishowe Musa akamlilia Yehova, na kusema: “Nitafanya nini na watu hawa? Bado muda kidogo nao watanipiga kwa mawe!”+

  • Hesabu 14:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hata hivyo, kusanyiko lote likasema wapigwe kwa mawe.+ Na utukufu wa Yehova ukaonekana juu ya hema la mkutano machoni pa wana wote wa Israeli.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 10:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Basi Mfalme Rehoboamu akamtuma Hadoramu,+ aliyekuwa juu ya wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa, lakini wana wa Israeli wakampiga kwa mawe,+ naye akafa. Naye Mfalme Rehoboamu akafaulu kupanda katika gari lake, akakimbia kwenda Yerusalemu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 24:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Mwishowe wakapanga hila juu yake,+ wakampiga kwa mawe+ kwa amri ya mfalme katika ua wa nyumba ya Yehova.

  • Matendo 5:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ndipo kapteni akaenda zake pamoja na maofisa wake na kuwaleta, lakini bila kutumia jeuri, maana waliogopa+ kupigwa na watu kwa mawe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki