Mathayo 14:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hata hivyo, ijapokuwa alitaka kumuua, aliuogopa umati, kwa sababu walimwona kuwa nabii.+ Luka 20:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Waandishi na wakuu wa makuhani sasa wakatafuta kunyoosha mkono ili wamkamate saa ileile, lakini waliwaogopa watu; kwa maana walifahamu kwamba alisema mfano huo juu yao.+
19 Waandishi na wakuu wa makuhani sasa wakatafuta kunyoosha mkono ili wamkamate saa ileile, lakini waliwaogopa watu; kwa maana walifahamu kwamba alisema mfano huo juu yao.+