Mathayo 21:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Basi wakuu wa makuhani na Mafarisayo walipokuwa wamesikia mifano yake, wakajua kwamba alikuwa akisema juu yao.+ Marko 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndipo wakaanza kutafuta jinsi ya kumkamata, lakini waliuogopa umati, kwa maana walijua kwamba alitoa mfano huo juu yao. Kwa hiyo wakamwacha, wakaenda zao.+
45 Basi wakuu wa makuhani na Mafarisayo walipokuwa wamesikia mifano yake, wakajua kwamba alikuwa akisema juu yao.+
12 Ndipo wakaanza kutafuta jinsi ya kumkamata, lakini waliuogopa umati, kwa maana walijua kwamba alitoa mfano huo juu yao. Kwa hiyo wakamwacha, wakaenda zao.+