Mathayo 21:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Hata hivyo, tukisema, ‘Ulitoka kwa wanadamu,’ tunaogopa umati,+ kwa maana wao wote wanamwona Yohana kuwa nabii.”+ Marko 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana Herode alikuwa akimwogopa+ Yohana, na alimjua kuwa mtu mwadilifu na mtakatifu;+ naye alikuwa akimlinda. Na baada ya kumsikia+ akawa hajui kabisa la kufanya, lakini aliendelea kumsikia kwa furaha. Luka 1:76 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 76 Na wewe, mtoto mchanga, utaitwa nabii wa Aliye Juu Zaidi, kwa maana utakwenda mbele za Yehova ili kutayarisha njia zake,+ Luka 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini tukisema, ‘Ulitoka kwa wanadamu,’ watu wote watatupiga kwa mawe,+ kwa maana wao wamesadikishwa kwamba Yohana+ alikuwa nabii.”+
26 Hata hivyo, tukisema, ‘Ulitoka kwa wanadamu,’ tunaogopa umati,+ kwa maana wao wote wanamwona Yohana kuwa nabii.”+
20 Kwa maana Herode alikuwa akimwogopa+ Yohana, na alimjua kuwa mtu mwadilifu na mtakatifu;+ naye alikuwa akimlinda. Na baada ya kumsikia+ akawa hajui kabisa la kufanya, lakini aliendelea kumsikia kwa furaha.
76 Na wewe, mtoto mchanga, utaitwa nabii wa Aliye Juu Zaidi, kwa maana utakwenda mbele za Yehova ili kutayarisha njia zake,+
6 Lakini tukisema, ‘Ulitoka kwa wanadamu,’ watu wote watatupiga kwa mawe,+ kwa maana wao wamesadikishwa kwamba Yohana+ alikuwa nabii.”+