Mathayo 21:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Hata hivyo, tukisema, ‘Ulitoka kwa wanadamu,’ tunaogopa umati,+ kwa maana wao wote wanamwona Yohana kuwa nabii.”+ Marko 11:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Lakini je, tutathubutu kusema, ‘Ulitoka kwa wanadamu’?”—Walikuwa wakiuogopa umati, kwa maana umati wote huo ulimwona Yohana kwamba kwa kweli alikuwa nabii.+
26 Hata hivyo, tukisema, ‘Ulitoka kwa wanadamu,’ tunaogopa umati,+ kwa maana wao wote wanamwona Yohana kuwa nabii.”+
32 Lakini je, tutathubutu kusema, ‘Ulitoka kwa wanadamu’?”—Walikuwa wakiuogopa umati, kwa maana umati wote huo ulimwona Yohana kwamba kwa kweli alikuwa nabii.+