Mathayo 11:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi, kwa kweli kwa nini mlitoka kwenda? Kuona nabii? Ndiyo, nawaambia ninyi, na ni zaidi ya nabii.+ Luka 7:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 (Na watu wote na wakusanya-kodi, waliposikia hili, wakamtangaza Mungu kuwa mwadilifu,+ wakiwa wamekwisha kubatizwa kwa ubatizo wa Yohana.+
9 Basi, kwa kweli kwa nini mlitoka kwenda? Kuona nabii? Ndiyo, nawaambia ninyi, na ni zaidi ya nabii.+
29 (Na watu wote na wakusanya-kodi, waliposikia hili, wakamtangaza Mungu kuwa mwadilifu,+ wakiwa wamekwisha kubatizwa kwa ubatizo wa Yohana.+