1 Wafalme 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kisha Mfalme Rehoboamu akamtuma Adoramu,+ aliyekuwa msimamizi wa watu waliofanya kazi ya kulazimishwa, lakini Waisraeli wote wakamuua kwa kumpiga mawe. Mfalme Rehoboamu akafaulu kupanda gari lake na kukimbilia Yerusalemu.+
18 Kisha Mfalme Rehoboamu akamtuma Adoramu,+ aliyekuwa msimamizi wa watu waliofanya kazi ya kulazimishwa, lakini Waisraeli wote wakamuua kwa kumpiga mawe. Mfalme Rehoboamu akafaulu kupanda gari lake na kukimbilia Yerusalemu.+