-
1 Wafalme 5:13, 14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 Mfalme Sulemani aliwaandikisha wanaume kutoka katika Israeli yote ili wafanye kazi ya kulazimishwa; wanaume 30,000 waliandikishwa.+ 14 Alikuwa akiwapeleka wanaume 10,000 Lebanoni kila mwezi kwa zamu. Walikaa Lebanoni kwa mwezi mmoja na kukaa nyumbani kwa miezi miwili; na Adoniramu+ aliwasimamia wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa.
-