Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 20:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Adoramu+ alikuwa msimamizi wa wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa; na Yehoshafati+ mwana wa Ahiludi alifanya kazi ya kuweka kumbukumbu.

  • 1 Wafalme 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ahishari alikuwa msimamizi wa nyumba; na Adoniramu+ mwana wa Abda aliwasimamia wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa.+

  • 1 Wafalme 5:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mfalme Sulemani aliwaandikisha wanaume kutoka katika Israeli yote ili wafanye kazi ya kulazimishwa; wanaume 30,000 waliandikishwa.+ 14 Alikuwa akiwapeleka wanaume 10,000 Lebanoni kila mwezi kwa zamu. Walikaa Lebanoni kwa mwezi mmoja na kukaa nyumbani kwa miezi miwili; na Adoniramu+ aliwasimamia wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki