1 Wafalme 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ahishari alikuwa msimamizi wa nyumba; na Adoniramu+ mwana wa Abda aliwasimamia wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa.+ 1 Wafalme 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kisha Mfalme Rehoboamu akamtuma Adoramu,+ aliyekuwa msimamizi wa watu waliofanya kazi ya kulazimishwa, lakini Waisraeli wote wakamuua kwa kumpiga mawe. Mfalme Rehoboamu akafaulu kupanda gari lake na kukimbilia Yerusalemu.+
6 Ahishari alikuwa msimamizi wa nyumba; na Adoniramu+ mwana wa Abda aliwasimamia wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa.+
18 Kisha Mfalme Rehoboamu akamtuma Adoramu,+ aliyekuwa msimamizi wa watu waliofanya kazi ya kulazimishwa, lakini Waisraeli wote wakamuua kwa kumpiga mawe. Mfalme Rehoboamu akafaulu kupanda gari lake na kukimbilia Yerusalemu.+