1 Wafalme 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Alikuwa akiwapeleka wanaume 10,000 Lebanoni kila mwezi kwa zamu. Walikaa Lebanoni kwa mwezi mmoja na kukaa nyumbani kwa miezi miwili; na Adoniramu+ aliwasimamia wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa.
14 Alikuwa akiwapeleka wanaume 10,000 Lebanoni kila mwezi kwa zamu. Walikaa Lebanoni kwa mwezi mmoja na kukaa nyumbani kwa miezi miwili; na Adoniramu+ aliwasimamia wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa.