Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nao hawakuwafukuza Wakanaani+ waliokuwa wakikaa katika Gezeri,+ na Wakanaani hao huendelea kukaa katikati ya Efraimu mpaka leo hii,+ nao wakawa watumishi wa kazi ya kulazimishwa.+

  • Yoshua 17:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na ikawa kwamba wakati wana wa Israeli walipokuwa wamepata nguvu,+ wakawaweka Wakanaani wafanye kazi ya kulazimishwa,+ wala hawakuwafukuza kikamilifu.+

  • Waamuzi 1:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na ikawa kwamba Israeli walipopata nguvu,+ ndipo wakawatia Wakanaani katika kazi ya kulazimishwa,+ wala hawakuwafukuza kabisa.+

  • 1 Wafalme 9:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na Sulemani hakumfanya yeyote kati ya wana wa Israeli kuwa mtumwa;+ kwa maana wao walikuwa ndio mashujaa wa vita na watumishi wake na wakuu wake na maamiri wasaidizi wake na wakuu wa waendesha-magari wake na wakuu wa wapanda-farasi wake.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini Sulemani hakumfanya yeyote kati ya wana wa Israeli kuwa mtumwa kwa ajili ya kazi yake;+ kwa maana hao walikuwa mashujaa wa vita+ na wakuu wa maamiri wake wasaidizi na wakuu wa waendesha-magari+ wake na wakuu wa wapanda-farasi+ wake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki