7 Na wakati nyumba ile ilipokuwa ikijengwa, ilijengwa kwa mawe ya machimbo+ yaliyomalizika tayari; na sauti ya nyundo na mashoka na vifaa vyovyote vya chuma haikusikika katika nyumba+ ile ilipokuwa ikijengwa.
9 Hizi zote zilikuwa za mawe ghali+ kulingana na vipimo, yaliyokatwa, yakachongwa kwa misumeno ya mawe, ndani na nje, na kutoka katika msingi mpaka kwenye kigongo cha ukuta, na upande wa nje mpaka kwenye ule ua mkuu.+