2 Mambo ya Nyakati 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nasi tutakata miti kutoka Lebanoni,+ idadi yoyote unayohitaji, nasi tutakuletea magogo hayo yakiwa mafungu-mafungu ili yaelee baharini mpaka Yopa;+ nawe utayapeleka Yerusalemu.”+ 2 Mambo ya Nyakati Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:16 Mnara wa Mlinzi,9/1/1989, uku. 16
16 Nasi tutakata miti kutoka Lebanoni,+ idadi yoyote unayohitaji, nasi tutakuletea magogo hayo yakiwa mafungu-mafungu ili yaelee baharini mpaka Yopa;+ nawe utayapeleka Yerusalemu.”+